sw.news

Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"

Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo].
Aliyempa Pentin habari hizo aliongeza kuhusu suala hili, hakuna "tofauti" kati ya Askofu Mkuu Ladaria na mtangulizi wake Kadinali Gerhard Müller.
Pentin amegubdua kwamba "Papa anaitaka barua [inayopiga marufuku pendekezo hilo] ibaki kuwa siri kwa sababu zisizojulikana".
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsNmaxqrapam

222
sw.cartoon

Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg

127
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 2
Familia Ingalls - Temporada 1 - Episodio Piloto Parte 2

49:53
elfu 47
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

+54 2344476927 ameshirikisha hii

Me Encanta este capítulo.

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi

37
HP Y GC

Chapelet au Karmel

25:51
27
sw.news

Askofu: Ni Mungu Pekee Ajuaye, Iwapo Francis Ni Papa Bandia

Ni Mungu pekee Ndiye ajuaye iwapo Francis ni au sio Papa Bandia, aliandika Askofu René Gracida, mwenye umri wa miaka 94, wa Corpus Christi, mjini Texas. Kwenye nakala mbili (Septemba 5 na 29) kwenye blogu lake “abyssum.org” alieleza shaka zake iwapo kuchaguliwa kwa Francis kulikuwa "halali".
Kulingana na Gracida Katiba la Uchungaji Universi Dominici Gregis humharamisha Kadinali yeyote ambaye hushiriki kwenye kashfa ya uchaguzi wa Papa mpya, "Bila shaka Francis alishiriki kwenye kashfa ili achaguliwe." Kulingana na Gracida Kadinali ambaye ameharamishwa hawezi kumchagua Papa.
Gracida pia anatilia shaka uhalali wa kujiuzulu kwa Benedict XVI. Kulingana naye "kuna ushahidi kuwa Benedict alilazimishwa kujiuzulu". Iwapo hili lilitendeka basi kujiuzulu kwake "sio halali na bado yeye ndiye Papa".
Picha: Ioannes Paulus II, René Gracida, #newsLrnukfuzac

99
sw.cartoon

Shetani Amepata Washirika Wengine Wenye Ushawishi Mkuu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsYsnljjypkh

104
oarielvillar

Familia Ingalls - T01C06 - El Amor de Jony Jonson.
Familia Ingalls - T01C06 - El Amor de Jony Jonson

49:37
1elfu 15
Lila San Car

Cómo le puede gustar el caitudo a Laura! Para gustos los colores!!! .🤪😍💜💙💚🖤♥️💛🧡❤️.. jajajaja! ....porque no le das un buen bofetón!!! jajajaja!!!!pobre Laura! 💔, El chico gusta de Mary!!!!

Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DW5AYUrjByE/
David Icke

05:02
12
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
117
sw.news

Kwa Mara ya Kwanza: Dayosisi Ambayo Hutumia Kijerumani Kashiriki Kwenye Sherehe Ya Kishoga

Kwa mara ya kwanza, dayosisiambayo hutumia kijerumani ilishiriki rasmi katika sherehe ya kishoga. Mnamo Julai tarehe 1, dayosisi ya Feldkirch, Austria, iliwatuma wawakilishi , shemasi Johannes Heil na mfanyikazi mlei Edgar Ferchl-Blum kwenye mwendo wa shoga mjini Bregenz. Ferch-Blum huliongoza shirika la “Center for Marriage and the Family” (Kituo cha Ndoa na Familia. Wawakilishi hao wa kidayosisi walibeba vibango na bendera zilizokuwa zimeandikwa "Rainbow Pastoral" (Ukasisi wa Upinde). Shemasi Heil alihutubia umati uliokuwepo. Dayosisi ya Feldkirch huongozwa na Askofu mkali Benno Elbs
Picha: Screenshot csd-bregenz.at, #newsWouiagzngi

165
sw.cartoon

Theluji kule Roma Mwisho wa Februari.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsIcgbsutrfr

147
carlos padila

NUEVA MISA CVII - MALACHI

159
Denis Efimov

Así es.

instagram.com/reel/DWvm20SDMsR/
David Icke

02:35
16
sw.news

"Huenda Medjugorge Ikaidhinishwa Mwaka Huu"

Masuka ya Bikra Maria ambayo husemekana yalifanyika huko Medjugorge, Bosnia, huenda yakatambulika na Vatikani mwaka huu, Askofu mkuu Henry Hoser wa Warszawa-Praga, nchini Upoli, aliambia shirika la habari la Kikatoliki la KAI. Hawezi kufikiria kuwa waonaji ambao husemekana, wamekuwa wakidanganya kwa miaka 36.
Tangu mwanzo wa masuka haya katika miaka ya 80 maaskofu wa humo wamekuwa wakiyaita bandia na yenye utata.
Mnamo mwazi Februari Papa Francis alimpa Hoser wajibu huo ili kusoma "hali ya uchungajia" ilivyo Medjugorge. Hoser aliibuka na maono kuwa kazi ya uchungaji huko Medjugorge inalingana na mafunzo ya Kanisa. Hata analinganisha Medjugorge na Fatima, Lourdes, Lisieux na Czestochowa.
Picha: Henryk Hoser, © Janusz Halczewski , CC BY-SA, #newsDtuyersall

91
Guntherus de Thuringia

Qu.

05:26
25
noi_cattolici

Dr. Barbara Balanzoni

20:00
69